Mbungewa Jimbo la Tabora Mjini Mh. Aden Rage akikabidhi mchango wake wa kwanza kwa Mhasibu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Grace Fihavango mara baada ya kujiunga na Mfuko huo. Mheshimiwa Rage alijiunga na PPF chini ya mfumo wa hiari alipotembelea banda la PPF kwenye wiki ya Hifadhi ya Jamii inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bw. William Erio.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bw. William Erio (kushoto) akimkabidhi kitambulisho cha uanachama wa PPF Mbunge waTabora Mjini Mh. Aden Rage (katikati) mara baada ya kujiunga na Mfuko huo. Mheshimiwa Rage alijiunga na PPF chini ya mfumo wa hiari alipotembelea banda la PPF kwenye wiki ya Hifadhi ya Jamii inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.Anayeshuhudia tukio hilo kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Eliudi Sanga.
 MbungewaJimbo la TemekeMh. Abbas  Mtemvu akipata maelezo ya fomu ya kujiandikishana Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Michango wa PPF Bi. Herieth Magala. Mhe.Mtemvu aliamua kujiunga na PPF alipotembelea kwenye banda hilo, katika wiki ya Hifadhi ya Jamii inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.

Mbungewa Jimbo la TemekeMh. Abbas Mtemvu akikabidhi mchango wake wa kwanza kwa Mhasibu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Grace Fihavangomara baada ya kujiunga naMfuko huo. Mheshimiwa Mtemvu alijiunga na PPF chini ya mfumo wa hiari alipotembelea banda la PPF kwenye wiki ya Hifadhi yaJamii ya inayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.  Katikati ni Afisa Michango wa Mfuko huo Bi. Herieth Magala akishuhudia tukio hilo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...