Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa hiari wa PSPF Bi. Zuhura Lwamo akipokea fomu ya usajili ya Mpango huo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa SSRA ndugu Irene Isaka baada ya Mkurugenzi huyo kujisajili katika Mfuko huo.
Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni PSPF Ndugu Gabriel Silayo akielimisha wabunge juu ya shughuli mbalimbali za Mfuko wa PSPF katika Semina iliyofanyika bungeni, Dodoma.
Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wakiwa bandani pao Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...