Mhe Spika wa Baraza la Wawakilishi  Mhe Pandu Ameir Kificho (mwenye shati jeupe) akiwa na Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Kamala (mwenye tai) wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe uliofuatana na Mhe Spika na Uongozi wa kampuni ya Damen ya Uholanzi. Mhe Spika na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wako kwenye ziara siku nne nchini Uholanzi.

Mhe. Pandu Ameir Kificho Spika wa Baraza la Wawakilishi akiwa na Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Kamala (mwenye tai) wakiwa ndani ya Boat iendayo kasi iliyotengezwa na kampuni ya Damen. Kushoto kwa Mhe Spika ni Mhe Omar Yusuph Mzee waziri wa Fedha Zanzibar. Na kulia kwa Dr. Kamala ni Mhe. Mohamed Abdala Mohamed Mkurugenzi  wa Nishati Zanzibar. Ujumbe wa Zanzibar unaendelea na ziara ya kikazi nchini Uholanzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...