Walimbwende wanaowania taji la Redd's Miss Uswawi wa Jamii 2013,wakiwa wameweka pozi kwenye picha ya pamoja
wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na shindano lao hilo linalotarajia
kufanyika Ijumaa hii (mei 17,2013) katika Ukumbi wa SunSirro,Sinza
jijini Dar es Salaam huku wakisindikizwa na Malkia wa Mipasho
Tanzania,Bi. Khadija Kopa na Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba.
Home
Unlabelled
Redd's Miss Ustawi wa Jamii kufanyika Mei 17
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hawa wanafunzi wanasoma saa ngapi? nasikitika sana kuona wahitimu wengi wasivyo na uwezo huku mitaani
ReplyDeleteWaache wenzio wauze sura bwana, mwisho wa siku kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.
ReplyDelete