Baadhi ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kutoka nchi za SADC wakiimba wimbo wa umoja huo katika mkutano wa mwaka wa kumi na nane wa shirikisho la Wakuu wa polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) unaofanyika jijini Dar es Salaam.Mkutano huo unajadili mambo mbalimbali yanayohusu uhalifu unaovuka mipaka.
Baadhi ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kutoka nchi za SADC wakiimba wimbo wa umoja huo katika mkutano wa mwaka wa kumi na nane wa shirikisho la Wakuu wa polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) unaofanyika jijini Dar es Salaam.Mkutano huo unajadili mambo mbalimbali yanayohusu uhalifu unaovuka mipaka
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Said Mwema akizungumza katika mkutano wa mwaka wa kumi na nane wa shirikisho la Wakuu wa polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) unaofanyika jijini Dar es Salaam.Mkutano huo unajadili mambo mbalimbali yanayohusu uhalifu unaovuka mipaka
Katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil akizungumza katika hafla fupi ya kufungua mkutano wa mwaka wa kumi na nane wa shirikisho la Wakuu wa polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) unaofanyika jijini Dar es Salaam.Mkutano huo unajadili mambo mbalimbali yanayohusu uhalifu unaovuka mipaka.
Picha zote na Frank Geofary wa Jeshi la Polisi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...