Make: IVECO 4x4
Kilometer:  16000 - 20000
Sitting capacity: 23 pamoja na dereva
Extras: Ina fridge (chumba) kikubwa kinachoweza kuhifadhi jeneza.
Price: Sh.55 milioni (mazungumzo yapo) bila dalali wala mpambe.
Contact: 0784 400044

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2013

    mtangazaji kweli umekosa mfano mwingine mpaka unaweka jeneza? Bora hata ungeweka vipimo maanga gari la utalii na jeneza wala haviendani.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 21, 2013

    Du, hadi chumba ch kuweka jeneza? Nilidhani ni gari la watalii.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 22, 2013

    Wadau wa 1 na wa 2 ninyi mnaota kufa tu?

    Jeneza lipo wapi hapo?, mkiona gari kubwa kubwa kama yale ya Muhimbili pale nje tayari mna weweseka.

    Manaogopa sana kifo?, hakuna jinsi KIFO ni lazima mimi na ninyi na wengine tukabiliane nacho.

    SOOOTE TUPO KATIKA DEATH ROW, AKIANGUKA MMOJA ANAFUATIA MWINGINE.

    Hakuna kubenjuka!, wala kula kona!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...