Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa Watanzania waishio Singapore na Balozi wa Tanzania nchini humo na India, Injinia John Kijazi alipokutana nao leo katika hoteli ya Swissotel jijini Singapore. Nchini humo kuna familia nne za Kitanzania ambao wote wanafanya kazi za kuajiriwa
Rais Kikwete akiongea na Watanzania Waishio Singapore alipokutana nao leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya kumbukumbu na Watanzania waishio Singapore baada ya kuongea nao leo. Kulia ni balozi wa Tanzania nchini humo na India
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...