Katibu wa asasi isiyo ya kiserikali ya Mategemeo Women Association,Viola Lindikikok akitoa mada katika mdahalo wa elimu ya uraia ulioandaliwa na asasi hiyo na kuwashirikisha zaidi ya vijana 100 kutoka katika kata za lemara na Daraja mbili za jijini Arusha,pembeni yake ni wahamasishaji katika mdahalo huo.
Mkuu wa kitengo cha polisi jamii mkoani Arusha,Mary Lugola akitoa semina ya elimu ya uraia iliyoandaliwa na taasisi ya Mategemeo Women Association ya jijini Arusha.(picha na moses mashalla).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...