Mama Salma Kikwete akifuatilia maelezo ya historia ya watu wa Parekanas waishio nchini Singapore kama yanavyotolewa na Bibi Ghazala tarehe 5.6.2013.
Mama Salma akiangalia kazi mbalimbali za mikono ziizokuwa zikifanywa na wanawake Waperakanas wa Singapore zilizohifadhiwa kwenye makumbusho hayo.
Mama Salma akiangalia kazi mbalimbali za mikono ziizokuwa zikifanywa na wanawake Waperakanas wa Singapore zilizohifadhiwa kwenye makumbusho hayo.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa na Bibi Ghazala Aziz-Scott, (a museum docent) kutembelea makumbusho ya Perakanas yaliyoko huko Singapore tarehe 5.6.2013.Picha na John Lukuwi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...