Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Viongozi mbalimbali waliofika kumpokea hapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kuwasili akitokea nchini China kwa Ziara ya Kiserikali.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akiangalia ngoma ya kibati iliokuwa ikichezw na wanakikundi wa Amani Mkoa waliofika Uwanja wa Ndege Kumpokea akitokea nchini China kwa Ziara ya kiserikali.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akizungumza na Waandishi wa Habari hapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kuwasili akitokea nchini china kwa ziara ya Kiserikali. PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2013

    only in africa! kuna haja gani ya viongozi woote kuacha kazi na majukumu yao na kwenda kumpokea Rais anaerudi nchini kwake?

    Kuna haja gani ya watu kuacha shuhuli zao za kujitenegenezea maisha na kwenda uwanja wa ndege kucheza ngoma?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 04, 2013

    Ndege yetu hii ya Fokker 28 si mchezo! yaani inafika paka China (umbali wa zaidi ya km 9,000!). of course palikuwa na stopovers.. ila tu nimefurahiwa.. Hongera TGFA!

    Ali..

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 04, 2013

    Twatoka pwani sieeeeee wbu na utuache! Si Kiongozi wetu kwani pili pili hiyo ya kuwashiani Yakheeee!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...