Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akipokea funguo kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Pereira Silima baada ya Pikipiki hizo kukabidhiwa na SUMATRA Mjini Morogoro tarehe 27/06/2013.
Wajumbe wakisikiliza utekelezaji wa Maazimio kutoka kwa Insp. Sokoni wakati wa Mkutano wa watendaji wa SUMATRA na Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mjini Morogoro katika Hotel ya Glonency 88 tarehe 27/06/2013.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...