KWA NIABA YA FAMILIA YA NTAMUBANO WA MUGOMA NGARA,
TUNATANGAZA KIFO CHA MAMA YETU MPENDWA
TUNATANGAZA KIFO CHA MAMA YETU MPENDWA
ANNA GWITABA NTAMUBANO
KILICHOTOKEA JUMAMOSI DAR ES SALAAM, MSIBA UKO NYUMBANI KWAKE SINZA MUGABE KARIBIA NA CITY STYLE HOTEL.
HABARI ZAIDI KIHUSU MAZISHI ZITAFUATA.
KWA MAELEZO KUHUSU MSIBA HUU WASILIANA
NA
FLORENCE SSEBUYOYA +255 786 460 322.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA,.. JINA LAKE LIABUDIWE.
IMETOLEWA NA
FRED ZG SSEBUYOYA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...