Mkuu wa Idara ya uendeshaji- uhandisi wa Vodacom Tanzania,Bw.Andrew Lupembe,akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa chuo cha kijeshi cha mawasiliano cha jijini Dar es Salaam,wakati walipofanya ziara ya kimafunzo makao makuu ya Ofisi za Vodacom Tanzania.
Mkuu wa kitengo cha maendeleo rasilimaliwatu wa Vodacom Tanzania,Bw.Conrad Msoma,akielezea jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa chuo cha kijeshi cha mawasiliano cha jijini Dar es Salaam,wakati walipofanya ziara ya kimafunzo makao makuu ya Ofisi za Vodacom Tanzania.
Mkuu wa kozi ya Mawasiliano wa jeshi la wananchi (JWT) katika Chuo cha Mgulani jijini Dar es Salaam, Luteni Moshi Masawani akiuliza swali njinsi Kampuni ya Vodacom inavyoendesha huduma ya mawasiliano, wakati walipofanya ziara ya kimafunzo makao makuu ya Ofisi za Vodacom Tanzania.
Mkuu wa Idara ya uendeshaji- uhandisi wa Vodacom Tanzania Bw.Andrew Lupembe,akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa chuo cha kijeshi cha mawasiliano cha jijini Dar es Salaam, baada ya kufika katika moja ya kituo cha kurushia mawasiliano cha Vodacom kilichopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.Wakati walipofanya ziara ya kimafunzo makao makuu ya kampuni hiyo.
Mkuu wa Idara ya uendeshaji-uhandisi wa mtandao wa Vodacom Tanzania,Bw.Andrew Lupembe,akiwaelezea jambo baadhi ya wanafunzi wa chuo cha kijeshi cha mawasiliano cha jijini Dar es Salaam, Wakati walipofanya ziara ya kimafunzo makao makuu ya kampuni hiyo.
Mkuu wa kitengo cha uendeshaji wa mtandao wa Vodacom Tanzania,Bw.Andrew Lupembe,akiwaonyesha mitungi ya gesi ya kisasa ambayo inatumika kuzima moto wanafunzi wa chuo cha kijeshi cha mawasiliano cha jijini Dar es Salaam, Wakati walipofanya ziara ya kimafunzo katika moja ya kituo cha kurushia mawasiliano cha Vodacom kilichopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...