Waombolezaji wa Msiba wa Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,Marehemu Albert Mangwea waliokuwa wamejitokeza kwa wingi kwenye viwanja Leader s kwa ajili ya kuaga,wakielekea kwenye gari maalum la kubeba mwili Marehemu Mangwea tayari kwa Safari ya kwenda Mkoani Morogoro kwa Mazishi ambayo yatafanyika kesho Alhamisi.
 Mwili wa Marehemu Mangwea ukiingizwa kwenye gari.
 Msafara ukiondoka kwenye viwnja vya Leaders,Kinondoni Jijini Dar tayari kwa safari ya kuelekea Mkoani Morogoro kwa Mazishi.
Taratibu za kuaga zikiendelea.

PICHA NA VIDEO ZA MSIBA HUU ZITAWAJIA BAADAE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2013

    Nimeona maajabu sana watu kugombania kupiga picha sanduku, sidhani hiyo ni mila ya Tanzania,

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2013

    Jamani..Mama yake...jamani watoto tunazaa tunawakuza wanatutoka hivi hivi...ohoooooooo inauma sana.Tena mtoto anamuacha mama yake uzeeni kama hivi.

    Mtoto ni siraha kamili kwa mzazi wake uzeeni.

    Vijana tuwaonee huruma wazazi wetu, tujifunze kutokana na matukio. Hatujui kijana huyu kafa kwa sabb gani, lakini vijana acheni vurugu za maisha.Mcheni mola mkiwa bado na nguvu.

    Mangwea katutoka .Alikuwa anahitajika sana na wazazi wake ndugu zake n.k

    Hakuna jinsi, tumuombee rehema kwa Mungu apumzike kwa amani.AAAAMEN

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 05, 2013

    RIP NGWEAR TULIKUPENDA ILA MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI


    MEGGIE IMPOSTRA

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2013

    RIP Ngwea! May God Almighty rest your soul in peace


    Killo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...