Washiriki wa shindano la Redd's Miss Tanga 2013 wakiwa katika mapango ya Amboni jijini Tanga ikiwa ni sehemu ya kutangaza utalii uliopo katika mkoa wa Tanga.Shindano lao litafanyika katika uwanja wa Mkwakwani Mjini Tanga siku ya Ijumaa Juni 22,2013.
Warembo wakiendelea na safari yao ndani ya Mapango hayo.
Washiriki wa shindano la Redd's Miss Tanga 2013 wakiwa nje ya mapango ya Amboni jijini Tanga ambako walitembelea ikiwa ni sehemu ya kutangaza utalii uliopo katika mkoa wa Tanga.Shindano lao litafanyika katika uwanja wa Mkwakwani Mjini Tanga siku ya Ijumaa Juni 22,2013.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...