Balozi wa Uholanzi anaemaliza mda wake hapa nchini Mhe. Dk Ad Koekkoek akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda alipofika kumuaga Ofisini kwake leo
Mhe. Balozi akifurahia jambo na Mhe. Spika baada ya kumaliza maongezi. Kushoto ni Msaidizi wa Balozi Bi. Agness Hanti.
Mkono wa kwa heri.
Picha zote na Owen Mwandumbya wa Bunge
Senkyuuu veri machi
ReplyDelete