Waziri wa Kazi,Uwezeshaji Wananchi Uchumi na Ushiriuka na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Zanzibar.Mhe Haroun Ali Suleiman (kulia) akimsikiliza Naibu katibu Mkuu wa UVCCM,Shaka Hamdu wakati alipokuwa akizungumza mambo kadhaa yahusuyo ziara ya kuhimarisha chama,akilipokuwa katika kituo cha Mtegani FM Makunduchi,Zanzibar.
Naibu Katibu Mkuu UVCCM Zanzibar,Shaka Hamdu akizungumza kwenye kituo cha Redio FM Mtegani Makunduchi wakati wa ziara za mikoa kukiimarisha Chama hicho.


.jpg)
.jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...