Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa akiwasilisha mada wakati wa mkutano maalumu wa kuangalia changamoto na hatua mbalimbali za kimaendeleo katika sekta ya TEHAMA kwa nchi zilizo katika ukanda wa Bonde la Ufa jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano maalumu wa kuangalia changamoto na hatua mbalimbali za kimaendeleo katika sekta ya TEHAMA kwa nchi zilizo katika ukanda wa Bonde la Ufa jijini Dar es Salaam jana. Wengine katikati ni Commissioner wa Umoja wa Afrika (AU) anayeshughulikia Miundo Mbinu na Nishati,Dkt.Elham Mahmoud Ibrahim na kushoto ni Waziri wa Habari na Technolojia ya Mawasiliano wa Uganda, Bw.John Wasasira.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...