Mtendaji Mkuu wa Benki ya CRDB Dr. Charles Kimei akizungumza wakati wa uzinduzi wa upimaji wa Afya , zoezi litakalo endeshwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa kazi (OSHA), kwenye matawi ya benki hiyo nchi nzima.

  Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa kazi (OSHA) Dr. Akwilina Kayumba akielezea jinsi zoezi hilo litakalofanyika kwa wafanyakazi wa benki ya CRDB kwenye matawi yake yote nchi nzima, ikiwa ni mpango wa kuhakikisha wafanyakazi wanafanyakazi katika mazingira salama.
 Mtendaji Mkuu wa Benki ya CRDB Dkt Charles Kimei akifanyiwa vipimo wakati wa zoezi la uzinduzi wa upimaji Afya kwa wafanyakazi wa benki ya CRDB, kwenye ofisi za makao makuu ya benki hiyo Jijini Dar es salaam
Madaktari toka OSHA wakichukua maelezo toka kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB, ikiwa ni mwanzo wa zoezi la upimaji Afya kwa wafanyakazi zaidi ya 2000 wa Benki ya CRDB ambao wanatarajiwa kupimwa Afya zao( Fitness to work) hivi karibuni kwenye matawi yote.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2013

    Hawa watu wa OSHA je wanatoa ushauri/tiba vipimo vikionyesha kuna kasoro au mapungufu kuhusu afya yako?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2013

    Hili ni jambo zuri sana la kuhamasisha watumishi wa Taasisi kupima afya zao. naomba na Taasisi zingine zifanye zoezi kama hili.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2013

    Confidentiality is very important during provision of any excellent medical care, if Charles Kimei Bp is noted to be say 180/110, would you then inform him immediately and infront of others?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...