Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Rorya Bi. Pendo Bernard, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Wilayani hapo Julai 14, 2013.
Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Bi. Faustina Vallery akitoa kuhusu maadili katika Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wilayani hapo juzi (Julai 14, 2013).
 Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Muheza wakijadili na kutoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wilayani hapo jana (Julai 16, 2013).
 Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Mji wa Njombe wakijadili na kutoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wilayani hapo jana (Julai 16, 2013).
 Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Rorya katika ukumbi wa mkutano wilayani humo muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa kujadili na kutoa maoni kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo uliitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Julai 14, 2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...