Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Charles Kimei akizungumza wakati wa uzinduzi wa zoezi la upimaji afya kwa wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya mahali pa kazi (OSHA), kutoka Wizara ya Kazi na Ajira Dk. Akwilina Kayumba akizungumza wakati wa uzinduzi wa upimaji afya kwa wafanyakazi wa benki ya CRDB. Kulia ni
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Charles Kimei akipimwa afya yake.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya mahali pa kazi (OSHA),
kutoka Wizara ya Kazi na Ajira Dk. Akwilina Kayumba akimpima afya Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Charles Kimei wakati wa uzinduzi wa zoezi la
upimaji afya kwa wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Zoezi la upimaji afya likiendelea.
Baadhi ya Madkatari wa Wakala wa Usalama na Afya mahali pa kazi (OSHA), wakiwa katika ofisi za benki ya CRDB tayari kwa kuanza zoezi la upimaji afya za wafanyakazi wa benki hiyo.
Naibu Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka akizungumza wakati wa uzinduzi wa zoezi la upimaji afya kwa wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...