Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akipokea zawadi ya kitabu cha Historia ya Jiji la Ghent - Ubelgiji kutoka kwa Mstahiki Naibu Meya wa Jiji la Ghent. Balozi Kamala ametembelea ofisi za Jiji la Ghent na kufanya mazungumzo ya jinsi ya kuimarisha na kukuza ushirikiano kati ya Jiji la Ghent na Halmashauri za Wilaya za Tanzania.
Home
Unlabelled
Balozi Dr Kamala akutana na Mstahiki Naibu Meya wa Jiji la Ghen
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...