Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akipokea zawadi ya kitabu cha Historia ya Jiji la Ghent - Ubelgiji kutoka kwa Mstahiki Naibu Meya wa Jiji la Ghent. Balozi Kamala  ametembelea ofisi za Jiji la Ghent na kufanya mazungumzo ya jinsi ya kuimarisha na kukuza ushirikiano kati ya Jiji la Ghent na Halmashauri za Wilaya za Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...