Kutoka Maktaba: Ma-DJ wakali kabisa wa enzi hizo wakiwa pamoja katika show Club Africana. Toka kulia ni DJ Meb, Neagre Jay, DJ Choggy Sly (RiP) , DJ John Peter Pantalakis, mratibu wao Nassoro Born City  (RiP), DJ Kalikali (RiP) na DJ Eddy Sally (RiP) pamoja na mdau.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. ebwana eeh mkuu umenikonga kisawa sawa leo roho yangu najisikia furaha tele maka nimeokota mamilioni ya pesa barabarani, yani picha hii imenikumbusha mbali mkuu wee achaaa, sioy enzi hizi ma dj mchwarwa mcharwaaa samani wanafanya kazi kisawa sawa na kuwaburudisha watu kichizi na mtu unatoka kwenye disco hujachomwa kisu wala kupigwa bastola wala nini unaserebuka kwa raha tupu

    Allah akubarik mkuu nimefurahi sana kuona picha hii thanks man

    ReplyDelete
  2. Where is Chris Phabby?

    Nakumbika msasani beach walikua wanapiga na Kali kali..

    ReplyDelete
  3. michuzi kazi yako hiyooo...mpiga picha mkuu wa madisco yote ya mjini dar..enzi hizo ukitupiga picha ndani ya madisco na kutuletea picha zetu wiki inayofuata...katikati ya watu na mdundo kama kawa mjomba unanyakua photo !! umetoka mbali wewe !!

    ReplyDelete
  4. Huyu Niga Jay ndio Masoud Masoud kama sikosei. Sura yake haipotei.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...