Home
Unlabelled
yale yaleeee....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni kweli ,kuna watu wanajuana na polisi wa kituo hicho,wanachofanya ni kuzuga kama wanaegesha gari kituoni pale kama dakika kumi hivi kisha wanatokea pale na kuingia kwenye mstari.Hii huwaumiza sana wale watu wema wanaofuata utaratibu,nirahisi kuingia kwenye foleni saa 11 jioni na kuvuka saa mbili usiku kwa ajili ya watu kama hawa wenye ushirika na maasikari wa kituo hiki.
ReplyDeleteKwa kweli ni kero kubwa kituo hiki,ukiacha wanaowaingiza kutokea kwenye parking kuna wanaowaingiza moja kwa moja utaona polisi anasimama mbele yako kukuzuia halafu anaingiza gari zake alizochukua kidogodogo
ReplyDelete