Mwishoni mwa wiki Benki ya NMB ilishiriki futari na wateja wake jijini Zanzibar.Hii ni katika kuendeleza mahusiano mazuri ambayo yamekwisha jengeka baina ya wateja wa NMB na Benki ya NMB.

Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akishukuru uongozi wa NMB kwa kuandaa wasaa mzuri na kushiriki katika kukamilisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.Hii ilikua katika futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB tawi la Zanzibar kwenye hoteli ya Zanzibar Ocean view Zanzibar mwishon mwa wiki.

Maofisa wa NMB wakiwa wameambatana kuingia ukumbini na mgeni rasmi(katikati) katika hafla hii ya kushiriki futari na wateja wa NMB mjini zanzibar

Meneja Mawasiliano NMB, Josephine Kulwa nae hakubakia nyuma kushiriki wasa mzuri na wateja wa NMB

Mkuu wa kitengo cha akaunti binafsi wa NMB, Abdulmagid Nsekela akiongoza wageni waalikwa katika kupata futari

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...