Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi. Seif Ali Idd (kushoto) akimkabidhi kikombe cha ushindi wa kwanza kundi la Sekta ya Mawasiliano, Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Mruta Hamis wa Maonesho ya kilimo Nane Nane  wakati wa kilele cha maadhimisho hayo kitaifa Nzuguni Dodoma
Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Mruta Hamis akiwa a kikombe chao cha Ushindi wa kwanza Sekta ya mawasiliano katika Maonesho ya kilimo Nane Nane  wakati wa kilele cha maadhimisho hayo kitaifa Nzuguni Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...