Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifurahia Kombe baada ya kuibuka mshindi wa Kwanza katika Kundi la Wizara za Sekta Huduma ya Jamii kwenye Kilele cha Sherehe za Sikukuu ya Wakulima NaneNane 2013 zilizofanyika Kitaifa kwenye Uwanja vya Nzuguni,Dodoma leo
Wadau wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI pamoja na Taasisi zake picha ya pamoja ya ushindi huo katika Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...