Mhe. Bernard K. Membe (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwakaribisha wageni waalikwa wakiwemo Mabalozi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mufti Mkuu wa Tanzania na Wafanyakazi wa Wizara ya Mamob ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Futari Maalum aliyowaandalia nyumbani kwake jana, jijini Dar es Salaam.
Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje wakimsikiliza Mhe. Waziri Membe.
Mabalozi wakimsikiliza Mhe. Waziri.
Foreign oyeeee
ReplyDelete