Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akitia saini Kitabu cha Maombolezo cha waliopoteza maisha katika  tukio baya la kigaidi lililotokea nchini Kenya. Balozi Kamala ametia saini katika Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Kenya Ubelgiji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...