Mkuu wa Kitengo cha Usalama na Mazingira wa TANROADS, Zafarani A Madai akimwonyesha Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt Emmanuel Nchimbi,jinsi madereva wanavyopaswa kutumia barabara ili kuepusha ajali kwa kutumia michoro mbalimbali .
Mhandisi wa TANROADS Jonas Matete, akiwapa maelekezo ya matumizi ya barabara vijana wawili ambao walitembelea banda la wakala huyo wa barabara ili kufahamu mambo mbalimbali wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani yanayofanyika jijini Mwanza. Picha na Aisha Malima
Tunapongeza maonyesho yenu ni mazuri sana ila ningeishauri wizara au idara husika kutunga sheria kali kwa trainers wanakula rushwa sana hakuna Driving training ya maana kwa vyuo vyetu.kwanza inabidi ziwepo theory za kutosha zinaendana na test zinaweza kuwa computer tests halafu practical ziwe monitored kwani kuna watu wanaqualify kwa kuhonga pesa tu bila theory wala practical training.
ReplyDelete