Katibu wa Jumuiya ya Tanzania akielezea nini maana ya GLN na kwanini Jumuiya ya Tanzania DMV ni moja ya washiririki
Banda la Tanzania lilkiwa limetembelewa na wageni mbalimbali kujionea vitu vilivyoletwa wakiwemo walimu wa darasa la kiswahili DMV kwenye maonyesho ya Global Language Network yaliyofanyika Washington, DC kwa kushirikisha nchi mbalimbali na Tanzania ikiwa ndio mara ya kwanza kushiriki kwenye maonyesho hayo.
Baadhi ya nguo zilikuwepo kwenye banda la Tanzania ndani ya maonyesho ya Global Language Network yaliyafanyika Jumamosi Sept 28, 2013 kwa ushirikiano wa chuo kikuu cha New York (NYU) na Tanzania kushiriki kwa mara ya kwanza na banda lao kuvutia wageni wengi hasa kwenye chakula walicholeta chai na vitafunio mbalimbali.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...