Mwenyekiti wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Wanging’ombe Philimon Luhanjo akikagua gari alilokabidhiwa. Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Christopher Sayi. Nyuma ya Luhanjo ni Meneja wa Mamlaka ya Wanging’ombe, Mhandisi Najib Wasumbwile.
Mwenyekiti wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Wanging’ombe Philimon Luhanjo akisaini kitabu cha wageni ofisi kwa Naibu Waziri wa Maji, Wakwanza Kulia ni Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Dk. Binilith Mahenge, katikati ni K.G Bwire mfanyakazi wa Wizara ya Maji.
Kutoka kushoto; Naibu Waziri wa Maji, Mwenyekiti wa Mamlaka ya Wanging’ombe, Katibu Mkuu Wizara ya maji na Mbwire wakielekea kwenye gari, tayari kwa ajili ya kukabidhiwa Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Wanging’ombe.
Mwenyekiti wa Mamlka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Wanging’ombe, Philimon Luhanjo akimshukuru Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Dk. Binilith Mahenge kwa kumkabidhi gari. Wakwanza kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Chritopher sayi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...