Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Mhe.Ummy Mwalimu akipata maelezo ya namna vyakula mbalimbali vinavyosindikwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kikundi cha Upendo Development Bibi.Lydia Jacob alipokitembelea kikundi hicho.
Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Mhe.Ummy Mwalimu akipokelewa na Kikundi cha Vicoba cha Kinana cha Tupendane alipowatembelea kuona namna kikundi hicho kinavyoshiriki katika shughuli za kujiinua Kiuchumi
Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy Mwalimu akisalimiana na Wanafunzi wanaosoma Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kisarawe alipowatembelea Chuoni hapo,Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Bw. Isaya Mwambogela.

Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Mhe.Ummy Mwalimu Naibu Waziri,MKuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Fatma Kimario na Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mtoto Wilayani hapo wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...