Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa (alienyanyua mkono mbele) akiongea na wageni wake nyumbani kwake jijini Dar es Salaam walipokwenda kumtembelea.. (Pichani mbele mwenye Kaunda suti ya cream) ni Mkuu wa Chuo cha Diplomasia Balozi Mohammed Omari Maundi.
Rais Mstaafu,Mh. Benjamin Mkapa (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kulia), alipokuwa akizungumza jambo jijini Dar es Salam walipokwenda kumtembelea.(pichani katikati) Ni Mkuu wa chuo cha Diplomasia nchini Balozi Mohammed Omari Maundi.
Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa (kushoto) akiagana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kulia), mara baada ya ,azumgumzo nae jijini Dar es Salam walipokwenda kumtembelea.
Picha ya pamoja kati ya Rais Mstaafu pamoja na wageni waliokwenda kumtembelea nyumbani kwake jana.Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...