Mh Mwigulu Nchemba MB

Chama cha mapinduzi Washington DC, Virginia na maryland tunapenda kuwatangazia na kuwakaribisha siku ya Jumapili tarehe 29/9/13 kuanzia saa 9 jioni ukumbi 1401 Universty of blvd MD   20783 Langley Park [ mirage hall] Mh Mwigulu Nchemba MB na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi atazungumza na Watanzania maswala mbali mbali yanayowagusa watanzania walio nje na maendeleo ya taifa letu kwa ujumla shime watanzania wote kuhudhuria

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kukaka kwenu America tulitegemea mmejifunza misingi na umoja wa America ambao haukujengwa kwa misingi ya vyama bali kwa umoja na utaifa wao hasa wapokuwa nje ya America. ni tegemeo langu tungeweza kupata mawazo mapya ambayo hayako kwa misingi ya vyama bali kwa ukombozi wa taifa lilokwama kwenye umasikini wa kupitiliza, kukosa huduma za msingi za afya, elimu na ukombozi wa uchumi.wapendwa nawaomba tuachane na fikra vya vyama vinafikri bila hivi vyama taifa haiwezi kusonga mbele ambavyo si kweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...