

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama sketi iliyoshonwa kwa mtindo wa vazi la asili la watu wa Hanang wakati alipotembelea banda la Wilaya hiyo katika maonyesho yaliyoambatana na Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Kaskazini lililofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye hoteli ya Mkonge Mjini Tanga Septemba 26, 2013. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mku, Uwezeshajina Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Hanang, Dr.Mary Nagu, Wapili Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa na wapili kulia ni Mkuu wa WIlaya ya Hang, Christina Mdeme


Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wakimsikiliza Waziri mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kongamano lao kwenye hoteli ya Mkonge mjini Tanga.
Picha na ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...