Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kushoto) akimkabidhi,katibu wa chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga, kikombe cha mshindi wa kwanza wa mashindano ya Pool Taifa yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kushoto) akimkabidhi katibu wa chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga,medali za washindi wa Fainali za Pool Taifa yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...