Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kushoto) akimkabidhi,katibu wa chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga, kikombe cha mshindi wa kwanza wa mashindano ya Pool Taifa yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo(kushoto) akimkabidhi katibu wa chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga,medali za washindi wa Fainali za Pool Taifa yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...