Kikosi cha Timu ya Kamba Wanaume cha TUMESHERIA SPORTS kikiingia uwanjani kuchuana na Wizara ya Mawasiliano katika michezo ya SHIMIWI inayoendelea mkoani Dodoma.
Timu ya Kamba wanaume ya Wizara ya Mawasiliano ‘wakiburuzwa’ na TUMESHERIA.
Kikosi cha TUMESHERIA kikiwavuta wenzao wa Wizara ya Mawasiliano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...