Kikosi cha Timu ya Kamba Wanaume cha TUMESHERIA SPORTS kikiingia uwanjani kuchuana na Wizara ya Mawasiliano katika michezo ya SHIMIWI inayoendelea mkoani Dodoma.
Timu ya Kamba wanaume ya Wizara ya Mawasiliano ‘wakiburuzwa’ na TUMESHERIA.
Kikosi cha TUMESHERIA kikiwavuta wenzao wa Wizara ya Mawasiliano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...