Gari lililokuwa limebeba mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele likiwasili katika Makaburi ya tabata segerea Kwaajili ya kuupumzisha Mwili wa Marehemu Kwenye Nyumba yake ya Milele jana jioni katika Makaburi ya Tabata Segerea
 Ndugu, Jamaa na Marafiki wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele wakiwa wamebeba jeneza lenye Mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele wakati lilipowasili kwenye Makaburi ya Tabata Segerea kwaajili ya kuupumzisha mwili wa marehemu Kwenye Nyumba yake ya Milele
 Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele likipelekwa Katika Kaburi lake kwaajili ya Kuupumzisha Mwili wa Marehemu katika Nyumba yake ya Milele jana jioni katika makaburi ya Tabata Segerea

Mchungaji wa Kanisa la Monrovian la Tabata Segerea Akitoa Neno kabla ya Mazishi ya kuupumzisha mwili wa marehemu Daniel Ambakisye Kamele

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyo marehemu alikuwa nani kwenye jamii? Naomba kufahamishwa mana blogs zeta za cut n paste hazijatuarifu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...