Magari yakirekebisha uzito wa mizigo baada ya kupimwa katika Kituo cha Mizani cha Mikese Mkoani Morogoro
Magari yakiendelea kupimwa katika Kituo cha Mizani cha Kibaha mkoani Pwani
Gari likiondoka baada ya kupimwa katika mzani wa barabarani likiwa limezingatia ya uzito uliowekwa kisheria
Upimaji ukiendelea Kibaha
Barabara ikiwa imebonyea kutokana na uharibifu unaotokana na magari yaliyozidisha uzito zaidi ya viwango vilivyowekwa kisheria..
ni muhimu kuwa na msimamo,tukicheza na hawa watu wa malori..watatufikisha pabaya. hawana uchungu na gharama zinazotumika kujenga hizo barabara..ilimradi mizigo yao imekwenda huo ni ubinafsi
ReplyDeleteBaarabara inaweza kubonyea kutokana na kiwango duni cha ujenzi uliofanyika..Barabara nyingi Tanzania na Afrika kwa ujumla zinajengwa kwa misingi ya rushwa na ubora wake ni duni sana..Ni makosa kusema malori tu ndio yanaharibu barabara,..zipo ambazo hata baiskeli tu inabonyeza barabara..."WAJIBIKA KWA UADILIFU'"
ReplyDeleteSiasa mbali na ukweli mbali. Hakuna mahali kusiko na sheria na taratibu zake. Si kila kitu holela. Utii wa sheria bila shuruti.
ReplyDeleteRELI, RAILWAY, RELI, RAILWAY!!!!
ReplyDeleteEwe, RELI, RAILWAY, RELI, RAILWAY!!!!...hujui kuwa wakubwa wamewekeza katika malori hayo!
ReplyDelete