Muongozaji wa Watalii kutoka Bodi ya Utalii ya Afrika Kusini,Dada Pumla
akienekeza jambo kwa baadhi ya waandishi wa habari na wadau kutoka
Tanzania ambao wapo kwenye ziara ya wiki moja ya kutembelea vivutio
mbali mbali vya utalii nchini Afrika Kusini.Hapa wakiwa nje ya Jengo la
Kumbukumbu ya Wachimbaji na Waponda mawe wa Zamani,lililopo katika
Hifadhi ya Gold Reef City,jijini Johannesburg,nchini Afrika Kusini.
Mashine za zamani za kuponda mawe zilizopo nje ya Jengo la Kumbukumbu ya Wachimbaji na Waponda mawe wa Zamani,katika Hifadhi ya Gold Reef City.
Waandishi wa habari na wadau kutoka Tanzania wakiendelea kutembelea hifandhi hiyo ya Gold Reef City,jijini Johannesburg,nchini Afrika Kusini.
Wanahabari wa Tanzania wakiwa kwenye Hifadhi ya
Gold Reef City,jijini Johannesburg,nchini Afrika Kusini.toka kulia ni
Frank Amani (The Citizen),Atuza Nkulru (The Gurdian),Sheria Ngowi
(Mbunifu wa Mitindo na Blogger),Othman Michuzi (Blogger kutoka Michuzi
Media),Hellen Kiria (kutoka Kampuni ya Frontline) pamoja na Anganile
(Bang Magazine).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...