Kapteni wa timu ya mpira wa miguu ya NMB tawi la Kilombero,Taiti Kamba akipokea kombe la ushindi kwa niaba ya timu yake, kutoka kwa Meneja wa NMB kanda ya Mashariki Bw. Nazareth Lebbi (tatu kushoto) baada ya kuibuka washindi katika bonanza la Ujirani Mwema kwa taasisi zilizopo Kidati-Kilombero lililoshirikisha timu 12. Wakishuhudia kutoka kushoto ni Ofisa wa Ilovo Romanus Mwaipinga, Mkurugenzi Rasiliamali watu-Ilovo Bw. Beda Marwa, Meneja wa tawi la Kilombero, Bw.Henry Shadolo pamoja na Maofisa kutoka NMB.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...