Mganga Mkuu wa Manispaa ya Temeke Dr. Syrivia Mamkwe akizungumza katika mkutano
wa uanzisshwaji wa mpango wa Tiba kwa Kadi (TIKA) katika Manispaa hiyo. Mpango huo
unasimamiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Betha Minga akifungua mkutano huo.
Ofisa Sheria wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Matilda Kagombora akitoa salaam za wizara
kwa wadau wa TIKA.
Wadau wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...