Wafanyakazi wa Chuo kikuu kishiriki cha elimu dar es Salaam 'wakipasha'kabla ya kuanza kwa bonanza la wafanyakazi wa chuo hicho, bonanza hilo lilishirikisha wafanyakazi wote wa chuo hicho.
Wafanyakazi wa Chuo kikuu kishiriki cha elimu dar es Salaam 'wakipasha'kabla ya kuanza kwa bonanza la wafanyakazi wa chuo hicho, bonanza hilo lilishirikisha wafanyakazi wote wa chuo hicho.
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu kishiriki cha Elimu dar es Salaam (DUCE) Profesa Godliving Mtui akizundua Bonanza la wafanyakazi wa chuo hicho lililofanyika jana chuoni hapa na kuwashikisha wafanyakazi wote wa chuo hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...