Home
Unlabelled
DR ASHAROSE MIGIRO AZUNGUMZIA KUTEULIWA KWAKE KUWA MBUNGE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
The mdudu,hongera sn mama na penda pia unavyo bonga vizuri SWAHILI
ReplyDeleteHongera Asha Rose Migiro!
ReplyDeleteTegemeo pekee kwa WATANZANIA !
Mkarimu na mwenye Upendo kwa watu!
Sijui kwa nini huwa kila nikimtazama Mama Migiro huwa naona maandishi makubwa " VICE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 2015 - 2025 " Mungu amjalie
ReplyDeleteWhy Vice President na sio Rais kabisa. Hata hivyo naamini popote pale hata ukuu wa wilaya mama huyu anaweza yeye habagui kazi wala ngazi! Shukran JK na Kidumu CCM. Akinana Mama oyee!!
ReplyDeleteMh Vice President wa Tanzania hatokagi Zenji??????Ila sijui siasa. Mdau wa tatu.
ReplyDeleteNa Mh.E.N.Lowassa unamweka baadhi gani?:kama si yeye tu ndiye tegemeo la wananchi,atakaeshika usukani wa uongozi wa taifa letu ili 'chombo kisiende' mrama tokea mwaka 2015? Ni kweli,mama A.R.Migilo bora awe muhimili nyuma ya jabali hilo. Vinginevyo nchi itaenda kwa CHADEMA.Hapo ndipo CCM hakitayumba asilani.
ReplyDeleteDOC unaongea KISWAHILI vizuri sana.Hongera sana DOC kwa uteuzi wako.Wadau mnaoongelea mambo ya kutoka ZENJ/BARA, sijui nini-"be quiet"!!
ReplyDeleteDavid V
Natamani apewe uwaziri katika wizara inayohitaji upeo kama wake ili atumie uzoefu wake wa kuwa serikalini na katika Umoja wa Mataifa kuleta mabadiliko katika utendaji kazi nchini. Ni mama anayeweza kutoa mchango mkubwa.
ReplyDelete