WABUNGE WA KAMATI YA MAHESABU YA SERIKALI (PAC) WALIOKO ZIARANI UK, LEO HII WAMETEMBELEA OFISI ZA SERENGETI UK NA KUJIONEA JINSI BOKSI LINYAVYOPIGWA. 
 WABUNGE HAO WAKIONGOZWA NA MWENYEKITI WAO MHESHIMIWA DEO FILIKUNJOMBE WALIJIONEA WENYEWE JINSI VIJANA WA KITANZANIA WAISHIO UK WANAVYOFANYA UKAGUZI WA MAGARI YAENDAYO AFRICA MASHARIKI NA PIA HUDUMA ZA USAFIRISHAJI WA MIZIGO. 
WABUNGE WALIFURAHI SANA KUONA JINSI WATANZANIA WAISHIO NJE (DIASPORA WANAVYOJISHUGHULISHA NA KUJITENGENEZEA AJIRA WENYEWE. WABUNGE WALIWASHAURI WATANZANIA HAO KUHAKIKISHA HAWASAHAU NYUMBANI KWA KUJITAHIDI KUWEKEZA ZAIDI NYUMBANI.
ILIKUWA FURAHA KUBWA PALE CHRIS LUKOSI ALIPOKUTANA NA MHESHIMIWA ALLY KESSY MBUNGE WA NKANSI AMBAYE NDIE ALIEMPOKEA MIAKA 24 ILIYOPITA HUKO NKANSI, RUKWA, AMBAKO CHRIS LUKOSI ALIPANGIWA KIKAZI AKIWA JESHI LA POLISI, PAMOJA NA MENGI MENGINEYO.

WABUNGE WA KAMATI YA MAHESABU YA SERIKALI (PAC) WALIOKO ZIARANI UK WAKIANGALIA SEHEMU  ZA KAZI
WABUNGE WA KAMATI YA MAHESABU YA SERIKALI (PAC) WALIOKO ZIARANI UK WAKIENDELEA KUTEMBEZWA SERENGETI
WABUNGE WA KAMATI YA MAHESABU YA SERIKALI (PAC) WALIOKO ZIARANI UK KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAZEE WA KAZI
WABUNGE WA KAMATI YA MAHESABU YA SERIKALI (PAC) WALIOKO ZIARANI UK WAKISHUHUDIA UKAGUZI WA MAGARI
WAZEE WA KAZI WAKIWA NA MHESHIMIWA DEO FILIKUNJOMBE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hiii serikali yetu inataka sie watu wa jee tuwekeze kwetuuu lakini huku wakii tuumiza kwa kulipa ushuru mara mbili tukilipa zanzibar tulipee tena Daresalaam wakatii nchiii ni moja Tanzania.
    je ukishuha tanga unalipa ushuru tena daresalaam ulipi so sembuse zanzibar

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...