MAREHEMU SAID ALLY 
MUYONGO ABAD

Kweli maisha ni safari ndefu, hatimay leo umefikisha miaka ishirini na tano (25) tangu ulipotangulia mbele za haki mnamo tarehe 04/12/1988. 
Ni Siku  isiyoweza kusahaulika maishani mwangu. Upendo, Hekima, Busara, Ucheshi na Ukarimu ni uridhi pekee ulioniachia . Pumzika kwa amani baba yangu mpendwa.
Mjukuu wako William Stephen III  anakuombea daima. Kila nikimwangalia anavyokuwa na kuchukua sura yako napata faraja ya kwamba sikuachwa peke yangu.
Unakumbukwa daima na ndugu zako wa Vanga, Mombasa, Moa, Nairobi, DSM, Arusha, mkwe wako na marafiki zako wote popote walipo.
WABILAH TAWFIQ. INNA LILLAH WAINNA ILYH RAIUN. 
AMEN

Ni Mimi mwanao Mpendwa Beatrice Muyongo Abad 
na Mjukuu wako William Steve III

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...