Mkurugenzi wa Kampuni ya Ikolo Investment,Maggid Mjengwa akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhulia kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kitabu cha "Simulizi za Mzee Mandela" kilichoandikwa na Maggid Mjengwa mwenyewe.hafla hiyo imefanyika jioni ya leo kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Mgeni Rasmi Kwenye Uzinduzi huo,Ndugu Mobhare Matinyi akisisitiza jambo mbele ya wadau mbali mbali waliohudhulia kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kitabu cha "Simulizi za Mzee Mandela" kilichoandikwa na Maggid Mjengwa,hafla hiyo imefanyika jioni ya leo kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wadau waliokuwepo kwenye uzinduzi huo akiuza swali.
Wadau wakinunua vitabu hivyo vya "Simulizi za Mzee Mandela" mara baada ya uzinduzi wake.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ikolo Investment,Maggid Mjengwa akisaini kwenye vitabu hivyo vilivyonunuliwa na wadau hao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...