DSC_0414
Kilio cha furaha kwa Moureen Julius.
DSC_0416
Wow.....!!!...Hongera Mwanangu.
DSC_0427
Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer, akikabidhi kitita cha Shilingi Milioni tano za Kitanzania kwa Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Moureen Julius (12). Wanaoshuhudia tukio hilo ni baba mzazi wa Moureen pamoja naAfisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko ambao ndio waandaji wa shindano hilo.
DSC_0435
Afisa Mtendaji Mkuu wa Frost Africa, Bw. Peter Sekasiko, akiwa ameongozana na Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013" Moureen Julius (12) huku nyuma yao wakiwa na ulinzi mkali kuelekea kuzungumza na waandishi wa habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mniite mshamba mjima lakini nimeangalia huyo binti alivyokuwa anacheza wala sijapendezewa nako. Nazungumza kama Mama mwenye Binti wa umri sawa na huyo, kucheza kwake ni kwa kichochezi na sio kumlinda huko ni kumfungulia milango ya kuandamwa labda kama angekuwa na miaka 18 nako ingekuwa mbinde. Nasema kwa roho safi mashindano ya watoto wadogo yazingatie maadili. Nisinge mpa ushindi kwa kipengele cha maadili tu.Yuke mtoto aliyeimba na kucheza kwa kujinyonganyonga kwangu mimi angekuwa mshindi. Tuthamini watoto wakike

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...