MWENYEKITI wa CCM Kata ya Kibamba, Ayoub Semvua akimpongeza Mbunge wa Temeke, Dar es Salaam, Abbas Mtemvu, baada ya kuzungumza kama mgeni mwalikwa kwenye Kichao cha kawaida cha Hamlashauri Kuu Kata ya Azimio jimboni humo, jana jioni. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Kata hiyo Esa Uswege.
Home
Unlabelled
SEMVUA AMFAGILIA ABBAS MTEMVU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...